Ben Sol: I have Paid Anerlisa Muigai’s Bride Price Just Waiting For The Wedding

Anerlisa + Ben coming soon?

In an interview with Clouds FM, the ‘Moyo Mashine’ hitmaker revealed that he has settled his fiancé’s dowry and was a step away from the I do day.

https://www.instagram.com/p/B7FBeZkH6Bk/

“Mimi na Anerlisa tuna mipango mingi mbeleni, nishamlipia hadi mahari lakini sidhani kama nitakuwa sahihi nikitaja ni mahari kiasi gani nimelipa kwao! Tumefanya taratibu zote za kimila nyumbani kwao tumeshakamilisha kila kitu kilichobaki ni zile taratibu za kizungu tu.”

Responding to reports that their relationship hit a storm in 2019, Ben Pol, clarified that things were actually getting better for them.

“Watu wetu wanaotupenda wazidi kutuombea kheri siku zote, muda si mrefu tutafunga ndoa.”

https://www.instagram.com/p/B3R8-xVlrBp/

He dropped a whooping Sh1.1 million for her ring:

“Ile pete imenicost kama dollar elfu Kumi na moja hivi. Nimeinunua mwenyewe na nimekaa nayo kama two months.

“Tuko na ana natembea nayo ile pete kwenye pochi yangu ya brown nimeifunga vizuri natembea na ile pete kama two months nafikiria ideas jinsi gani ya kumvalisha mpaka tukaenda Mombasa nikamwambia twende tukapige picha pale kwenye Sunset,” he told media personality Zamaradi Mketema

SHARE

Related Stories